SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 7, 2015

REAL MADRID NA RONALDO WAO, WAPIGWA 4-0

TIMU ya Atletico Madrid imeitandika mabao 4-0 Real Madrid katika mchezo wa La Liga jioni ya leo. Mwanasoka Bora wa dunia, Cristiano Ronaldo alicheza kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu yake, lakii alitoka uwanjani anazomewa na mashabiki wa wenyeji baada ya kipigo.    Kiungo ...

CHELSEA YA NG'AA ENGLAND

Chelsea wameibuka na ushindi wa goli 2-1 ugenini dhidi ya Aston Villa katika mchezo ulio kuwa mkali na wakusisimua. Chelsea ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kupitia kwa Eden Hazard dakika ya 8 kabla ya Okore kusawazisha dakika ya 48 na baadae Ivanovic Mfungaji wa goli la pili la Chelsea Blanislav...

ALI KIBA AFUNGUKA BIFU NA DIAMOND NA MIPANGO YAKE KIMUZIKI

  Hatimaye staa wa Bongofleva Ali Kiba amekiri kuwa yuko katika bifu na mwanamuziki mwenzie Diamond Platnumz kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. Kauli hiyo ya Ali Kiba inapingana na ile ya hivi karibuni iliyowahi kutolewa na Mwenyekiti wa Kamati za bunge ya Hesabu...

GOOOAAAAALLLLL

Ivanovic ameipatia goli la pili timu yake ya Chelsea 2-1 dhidi ya Aston Villa dakika ya ...

JAHAZI LA REAL MADRID LAZAMA

Timu ya Atletico Madrid inaongoza goli 3-0 dhidi ya wapinzani wao Real Madrid dakika ya ...

CHELSEA HALI MBAYA

Aston Villa wamesawazisha na sasa matokeo ni 1-1 dhidi ya Chels...

AZAM, MBEYA CITY ZABANWA LIGI KUU BARA

  Kweli Ligi Kuu Bara ngumu, Azam FC na Mbeya City, kila moja ikiwa ugenini imebanwa na kujikuta ikiambulia sare. Ruvu JKT 1-1 Mbeya City Bao la JKT limefungwa na Ally Bilal katika kipindi cha kwanza wakati la Mbeya City limefungwa na Kenny Ally aliyesawazisha katika kipindi cha pili. Polisi...

STAND UNITED YAKOMAA UGENINI

Ligi Kuu Bara imeendelea kuwa ngumu kwa karibu kila timu baada ya Stand United kukomaa ikiwa ugenini na kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wake Ndanda FC. Ndanda FC 1-1 Stand United Bao la wenyeji limefungwa na Nassor Kapama katika dakika ya 57 kabla ya wageni nao kukomaa na kusawazisha...

JINAMIZI LA SARE LAENDELEA MSIMBAZI

COASTAL Union wamegoma kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya jioni ya leo kulazimisha sare ya 0-0 na Simba SC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba ilijaribu kutengeneza mashambulizi ya mipira ya kutokea pembeni, lakini washambuliaji...

MATOKEO KUTOKA ETIHAD STDIUM MAN CITY MAMBO MAGUMU

Hull City wakiwa ugenini wanaongeza 1-0 dhidi Man City dakika ya ...

REAL MADRID HALI MBAYA MECHI INAENDELEA

  Atletico Madrid wanaingoza goli 2-0 dhidi ya Real Madrid dakika ya ...

HAYA NDIO MATOKEO YA CHELSEA MECHI INAENDELEA

Chelsea inaongoza 1-0 dhidi ya Aston Villa dakika ya ...

SIMBA BADO HALI NGUMU

Simba imetoka sare ya bila kufungana dhidi ya Coastl Union katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Mkwakwani Tan...

ARSENAL YALALA KWA TOTENHAM

Timu ya Totenham Hotspur imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhid ya Arsenal katika mchezo uliochezwa katika uwanja White Hart Lane mjini London Arsena walikuwa wa kwanza kupata goli kupitia kwa Mesout Ozil dakika ya 11 kabla ya H.Kane kuzawazisha dakika ya 56 na baadae akafunga tena dakika ya 86 na...

GOOOAAALLLL

Totenham wamesawazisha dakika ya 56 1-1 Arsenal...

GOOOAAAALLLL; ARSENAL WANG'AAAA

Arsenal wanaongoza goli 1-0 dhidi ya Totenham sasa ni dakika ya ...

YANGA SC KUWEKA KAMBI JESHINI

YANGA SC imefuta mpango wa kwenda kuweka kambi Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya BDF XI ya Botswana.Sasa, vigogo hao wa soka Tanzania wataingia kambini Jumatatu katika hoteli ya Tansoma, eneo la Gerezani,  Dar es Salaam...

KIONGERA KUONDOKA SIMBA

Kiungo Mkenya, Paul Raphael Kiongera ametishia kujiondoa mikononi mwa klabu ya Simba kama hakutakuwa na mabadiliko. Kiongera ameliambia gazeti hili kuwa amechoshwa na kile alichokiita ‘uswahili mwingi’ ambapo anadai kutolipwa fedha yoyote tangu Desemba, mwaka jana. Simba iliondoa...

CANNAVARO AOMBA RADHI

  Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amemuomba radhi askari aliyemkimbilia na kwenda kumkumbatia dakika chache baada ya kufunga bao katika mechi dhidi ya Coastal Union. Cannavaro alifunga bao hilo katika dakika ya 11, Jumatano iliyopita na kufanya kitendo hicho ambacho kilikuwa...

HUU NDIO UBABE WA COSTA NA TERRY UWANJANI

Na Saleh Ally TABIA za beki mkongwe wa Chelsea, John Terry, ni kupenda kujitambulisha kwa washambuliaji anaokutana nao wakati timu yake ikiwa uwanjani. Terry, maarufu kama JT, hajitambulishi kwa kupeana mikono, badala yake maneno ya kibabe au kumgongagonga mshambuliaji anayekuwa anamkaba ili...

LEO DERBY KATIKA MAJIJI YA LIVERPOOL, LONDON

LONDON, England UTAMU wa soka la Ulaya utaendelea wikiendi hii. Vita ya kusaka ubingwa wa England nayo itazidi kupamba moto katika mechi za leo na kesho, lakini kubwa zaidi linalozungumzwa kitaa ni ‘derby’ (mechi zinazohusisha timu zinazotoka mji mmoja) mbili kubwa nchini England. Derby...

HIVI NDIVYO ALIVYOPUMZISHWA NTAGWABIRA, KOCHA ALIYEFARIKI MWEZI TU BAADA YA KUTAKIWA NA SIMBA

Mchezaji wa zamani na kocha wa timu ya taifa ya Rwanda ‘Amavubi’, Jean Marie Ntagwabira amezikwa juzi katika makaburi ya kijeshi jijini Kigali, Rwanda. WATOTO WA MAREHEMU WAKITOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO Mwezi mmoja kabla ya kifo chake, Ntagwabira aliwaniwa na Simba lakini mwisho nafasi...

PEDRO KUONDOKA BARCELONA

Klabu za Liverpool na Arsenal zote za nchini England huenda zikapigana vikumbo mwishoni mwa msimu huu, kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji kutoka nchini Hispania, Pedro Rodriguez ambaye yu njiani kuachana na FC Barcelona. Arsenal na Liverpool zinatajwa kuingia katika...

LIGI KUU ENGLAND KUENDELEA LEO

Shughuli pevu wikiendi hii Ligi kuu England Ligi Kuu England itaendelea tena wikiendi hii ambapo michezo saba ya mzungo wa raundi ya 24 itapigwa katika viwanja tofauti. katika uwanja...

JAMES RODRIGUEZ ATEMBELEA MAGONGO

MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, James Rodriguez juzi ameanza kutembelea magongo baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti la mguu wake wa na anatarajiwa kuwa nje kwa miezi miwili. Japokuwa klabu yake haijasema atakuwa nje kwa muda gani, lakini taarifa za ndani zinasema mchezaji huyo atakosekana...

PICHA; HUYU NDIO MTOTO WA SHAKIRA NA GERRAD PIQUE

Ni mara chache kwa mastaa wa kike wa muziki Marekani kuona wakiweka picha za watoto wao mara baada ya kutoka kujifungua. Imewachukua muda mrefu mastaa kama Kim Kardashian, Beyonce, Kelly Rowland na wengine kuonyesha watoto wao wakiwa bado wachanga lakini kwa Shakira na mume wake Gerard Pique imekuwa...

PICHA ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA BARNABA NA VANESSA MDEE

. Vanessa Mdee na Barnaba Elias Feb 6, waliingia location kumalizia utengenezaji wa video mpya ya single yao iitwayo Siri, video hiyo imeongozwa na Hanscana kwenye kijiji cha Makumbusho Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha ambazo nimekuchukulia baada ya kushuhudia utengenezaji wa video...