
TIMU ya Atletico Madrid imeitandika mabao 4-0 Real Madrid katika mchezo wa La Liga jioni ya leo.
Mwanasoka
Bora wa dunia, Cristiano Ronaldo alicheza kwa mara ya kwanza baada ya
kumaliza adhabu yake, lakii alitoka uwanjani anazomewa na mashabiki wa
wenyeji baada ya kipigo.
Kiungo
...