
Na Haji Balou
Ligi ya mbuzi vijana cup Leo iliendelea ktk uwanja wa shule ya msingi Muungano kati ya Likongowele fc dhidi ya Nangando fc Mpaka dakika 90 zinamalizika Nangando fc imeibuka Na ushindi wa goli 4-2.
Magoli ya Nangando yalifungwa
Dakika ya 5 na Shehani Chikanga Dakika ya 10 na Ligubi Ligubi
Dakika...