SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 19, 2016

NANGANDO WAN'GAA LIGI YA MBUZI VIJANA CUP

Na Haji Balou Ligi ya mbuzi vijana cup Leo iliendelea ktk uwanja wa shule ya msingi Muungano kati ya Likongowele fc dhidi ya Nangando fc Mpaka dakika 90 zinamalizika Nangando fc imeibuka Na ushindi wa goli 4-2. Magoli ya Nangando yalifungwa Dakika ya 5 na Shehani Chikanga Dakika ya 10 na Ligubi Ligubi Dakika...