SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 25, 2015

SIKIA CANNAVARO ALIVYOWAAMBIA SIMBA KAMA WATAMSAJILI MICHAEL OLUNGA

OLUNGA (KULIA) AKISHANGILIA NA WENZAKE WA GOR MAHIA... Simba inapambana muda wote kuhakikisha inamsajili straika Michael Olunga wa Gor Mahia, lakini nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ni kama anataka kutibua dili hilo aliposema; “Huyo Olunga hana lolote, isipokuwa ana bahati tu.” Cannavaro...