OLUNGA (KULIA) AKISHANGILIA NA WENZAKE WA GOR MAHIA...
Simba inapambana muda wote kuhakikisha
inamsajili straika Michael Olunga wa Gor Mahia, lakini nahodha wa Yanga, Nadir
Haroub ‘Cannavaro’ ni kama anataka kutibua dili hilo aliposema; “Huyo Olunga
hana lolote, isipokuwa ana bahati tu.”
Cannavaro...