SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 12, 2015

YANGA SC DHIDI YA PLATINUM KIINGILIO POA BUKU TANO JUMAPILI TAIFA

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMKIINGILIO ch chini katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Yanga SC na Platinum FC ya Zimbabwe kitakuwa na Sh. 5,000 kwa jukwaa la viti vya rangi bluu na kijani, imeelezwa.Yanga wataikaribisha Platinum FC ya Zimbabwe katika mchezo...

MATUMLA JR KUPIGANA NA MCHINA MACHI 27, AKISHINDA ATAPANDA ULINGO MMOJA NA MAYWEATHER, PACQUIAO MEI 2 LAS VEGAS

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMBONDIA Mohamed Matumla anatarajiwa kupanda ulingoni Machi 27, mwaka huu katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam kupigana na Wang Xin Hua wa China.Hilo litakuwa pambano la uzito wa Super Bantam, kuwania nafasi ya kugombea taji la dunia la WBF,...

OKWI AELEZA ALIVYOCHUKUA UAMUZI WA KUFUNGA BAO DHIDI YA BARTHEZ

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi amesema alikuwa na asilimia nyingi kuwa mpira alioupiga langoni mwa Yanga ungeingia. “Wakati nakimbia na mpira, niliona kipa akiwa amesogea juu kidogo. Kwa hesabu za haraka niliamini mpira ule ungeweza kuingia wavuni. “Nilijua nitafunga, suala la kulenga...

TANZANIA YAPAA FIFA KWA NAFASI SABA NA KUSHIKA NAFASI YA 100

Tanzania imepaa na kushika nafasi ya 100 katika viwango vya Ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa). Tanzania imepanda hadi nafasi ya 100 baada ya kupanda nafasi saba mfululizo. Wakati Tanzania iepanda nafasi hizo na kushika nafasi ya 100, Rwanda imezidi kupaa kwa kushika...

NEW VIDEO: LINEX FT DIAMOND - SALIMA ITAZAME HAPA

Linex kwenye kolabo hii amesema kuwa haikuwa imepangwa yaani ni miongoni mwa kolabo ambazo yeye na Diamond haikupangwa,Diamond aliukuta wimbo studio akaupenda akamfahamisha Linex wakaamua kufanya kwa pamoja singo inaitwa Salima,hii ni singo ya pili kwa Linex kufanya na Diamond baada ya ile ya kwanza iliyoitwa Nitaificha wapi.                    ...

ALEX FERGUSON KUTOA KITABU KINGINE TENA

Kocha mstaafu, Alex Ferguson yuko katika hatua za mwisho kutoa kitabu kingine. Taarifa zimeeleza kitabu hicho zaidi kitalalia katika suala la ufundi uwanjani na nini alichofanya akiwa kocha. Tayari wachambuzi wa soka Ulaya wameishaanza kusema kuwa kitabu hicho huenda kitakuwa msaada...

TENGA APIGA BAO ‘LAINIII’ CAF, MPINZANI WAKE AJIONDOA MWENYEWE UCHAGUZI WA APRILI 7

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMNAHODHA wa zamani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Leodegar Chillah Tenga (pichani kulia) amepiga hatua moja mbele katika kuelekea kutetea nafasi yake ya Ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF).Hiyo inafuatia...

PICHA: JUX AKISHOOT VIDEO YAKE MPYA

‘Sisikii’ ni jina la wimbo ambao unafanya vizuri kwenye radio na TV pia, wimbo huo video yake yote ilifanywa China, ndani yake alionekana pia video queen msanii wa Bongo Fleva Vanessa Mdee.. Jux karudi tena location, safari hii kazi haijafanyika China tena na wala sio nje ya Bongo, mzigo unafanyika...

KITAMBI KOCHA MPYA AZAM FC

AZAM FC imemuajiri Dennis Kitambi (pichani kushoto), kuwa Kocha Msaidizi wa klabu hiyo bingwa Tanzania, chini ya Mganda, George ‘Best’ Nsimbe.Kitambi aliyekuwa kocha wa Ndanda FC kabla ya kutimuliwa baada ya mechi tano msimu huu, ameanza kazi rasmi leo asubuhi.Mwalimu huyo, mwenye leseni...

BAYERN MUNICH YAIADHIBU SHAKHTAR DONETSK 7-0

Na. Richard Bakana Mabingwa watetezi wa klabu Bingwa barani Ulaya, Klabu ya Bayern Munich  usiku huu wamefanikiwa kusonga mbele katika michuano hiyo baada ya kuwafumua Shakhtar Donetsk kwa jumla ya mabao 7-0. Mabao ya Bayern Munich yametupiwa ...

CHELSEA YAONDOLEWA UEFA NA PSG PUNGUFU

Na. Richard Bakana Vinara wa ligi kuu ya England, Chelsea leo usiku wamejikuta wakiambulia majonzi baada ya kutolewa katika michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya na Wapinzani PSG huku wakiwa mbele ya mashabiki wao kunano Uwanja wa Stamford Bridge  baada ya kulazimishwa sare ya 2-2. Licha...

HIZI NDIO KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO MARCH 12

. . . . . . . . . ....