
Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMKIINGILIO
ch chini katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji,
Yanga SC na Platinum FC ya Zimbabwe kitakuwa na Sh. 5,000 kwa jukwaa la
viti vya rangi bluu na kijani, imeelezwa.Yanga
wataikaribisha Platinum FC ya Zimbabwe katika mchezo...