SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 16, 2016

VIJUSO FC YAICHAPA KUBOTA MECHI YAVUNJIKA

Na Haji balou Mashindano  ya ligi ya Mbuzi vijana Cup yameendelea tena hii leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika uwanja wa Shule ya Msingi Muungano kati ya Vijuso fc dhidi ya Kubota fc.  Mchezo huo ambao haukumalizika baada ya kutokea fujo katika dakika ya 84, mpaka mchezo huo unavunjika...