SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 7, 2015

MAYWEATHER AANZA MATANUZI YA 'MZIGO' WALIOVUNA KWA KUMCHAPA PACQUIAO, AMWAGA DOLA 100,000 KWENYE PATI LA CHRIS BROWN

Floyd Mayweather (kulia) akiwa kwenye pati ya sherehe ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Chris Brown iliyofanyika usiku wa kuamkia leo klabu ya Drai's mjini Las Vegas, Marekani.  Mayweather, ambaye Alfajiri ya Jumapili alimpiga Manny Pacquiao kwa pointi katika pambano...

MOURINHO KUONGEZA MKATABA MPYA CHELSEA, ASEMA ATAKAA DARAJANI HADI ABRAMOVICH AAMUE

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho (pichani juu) amekubali kuongeza Mkataba wa miaka miwili katika Mkataba wake wa sasa, taarifa za vyombo vya Habari Uingereza zimesema leo.Mourinho, mwenye umri wa miaka 52, alirejea Chelsea mwaka 2013 kwa Mkataba wa miaka minne na msimu huu ameiongoza...

MESSI AMFANYA KITU MBAYA GUARDIOLA CAMP NOU, APIGA MBILI BARCA IKIILAZA 3-0 BAYERN

BARCELONA imeanza vyema Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Bayern Munich, Uwanja wa Camp Nou nchini Hispania. Lionel Messi akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Barcelona katika ushindi wa 3-0 usiku huu Uwanja wa Camp Nou Bayern ...