
Floyd
Mayweather (kulia) akiwa kwenye pati ya sherehe ya kuzaliwa kwa
mwanamuziki Chris Brown iliyofanyika usiku wa kuamkia leo klabu ya
Drai's mjini Las Vegas, Marekani.
Mayweather,
ambaye Alfajiri ya Jumapili alimpiga Manny Pacquiao kwa pointi katika
pambano...