SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Nov 21, 2014

ARSENAL NI VIBONDE WA 'KUPIKA NA KUPAKUA' KWA MAN UNITED, MECHI 11 ZILIZOPITA WAMESHNDA MOJA TU

REKODI YAO YA KWENYE LIGI TANGU 2009 Mechi walizocheza: 11  Man United walizoshinda: 7  Arsenal waliyoshinda: 1 Walizotoka sare: 3  MECHI kati ya Arsenal dhidi ya Manchester United wakati wote imekuwa moja ya michezo ya kusisimua katika historia ya...

KIPA WA SIMBA SC APATA ULAJI OMAN, AWA BOSI WA KIPA WA YANGA SC.

Kipa wa zamani wa Simba SC, Spear Mbwembwe (kulia) akiwa na kipa wa zamani wa Yanga SC, Juma Mpongo mjini Muscat, Oman jana. Mbwembwe ametua jana kwa ajili ya kuwa kocha wa makipa wa klabu ya Seeb ya Ligi Kuu ya nchini humo. Mpongo amekuwa kipa wa timu hiyo tangu mwanzoni mwa msimu huu na...

MUONEKANO WA JEZI MPYA ZINAZOPIGIWA KURA

JEZI ZA NYUMBANI N1 B C D (Imetolewa na Shirikisho la Soka Tanzania, TFF ) ...