SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Nov 21, 2014

ARSENAL NI VIBONDE WA 'KUPIKA NA KUPAKUA' KWA MAN UNITED, MECHI 11 ZILIZOPITA WAMESHNDA MOJA TU


REKODI YAO YA KWENYE LIGI TANGU 2009

Mechi walizocheza: 11 
Man United walizoshinda: 7 
Arsenal waliyoshinda: 1
Walizotoka sare: 
MECHI kati ya Arsenal dhidi ya Manchester United wakati wote imekuwa moja ya michezo ya kusisimua katika historia ya  Ligi Kuu ya England – lakini The Gunners wameshinda mechi moja tu kati ya 11 zilizopita baina ya klabu hizo.
Louis van Gaal atasafiri na kikosi chake chenye majeruhi kibao hadi Uwanja wa Emirates Jumamosi mchana akitambua kwamba timu yake imekuwa na historia nzuri siku za karibuni dhidi ya wapinzani wake hao.
Licha ya kuboronga msimu uliopita, lakini bado United ilijimudu kuichapa Arsenal 1-0 Uwanja wa Old Trafford na kutoka nayo sare ya bila kufungana katika mchezo mwingine Kaskazini mwa London.
Aaron Ramsey scored the only goal of the game the last time Arsenal beat Manchester United in 2011
Aaron Ramsey alifunga bao pekee mara ya mwisho Arsenal ilipoifunga Manchester United mwaka 2011
Arsenal beat Manchester United 1-0 in 2011 - their only win in the last 11 games against United
Arsenal iliifunga Manchester United 1-0 mwaka 2011 - ushindi wao pekee katika mechi 11 dhidi ya United
Danny Welbeck - who is now at Arsenal - scored the last time Manchester United won at the Emirates in 2012
Danny Welbeck - ambaye kwa sasa yupo Arsenal - alifunga bao la ushindi dakika ya mwisho Manchester United ikishinda Uwanja wa Emirates mwaka 2012
Former Arsenal striker Robin van Persie scored the winner for United at Old Trafford last season
Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal, Robin van Persie alifunga bao la ushindi kwa United Uwanja wa Old Trafford msimu uliopita

MECHI BAINA YA ARSENAL NA MAN UTD
Feb 12, 2014Arsenal0-0Man Utd
Nov 10, 2013Man Utd1-0Arsenal
Apr 28, 2013Arsenal1-1Man Utd
Nov 3, 2012Man Utd  2-1Arsenal
Jan 22, 2012Arsenal1-2Man Utd
Ago 28, 2011Man Utd8-2Arsenal
May 1, 2011Arsenal1-0Man Utd
Dec 13, 2010Man Utd1-0Arsenal
Jan 31, 2010Arsenal1-3Man Utd
Ago 29, 2009Man Utd2-1Arsenal
May 16, 2009Man Utd0-0Arsenal

Wakati kocha Sir Alex Ferguson akiwa katika msimu wake wa mwisho Old Trafford, mabao ya Robin van Persie na Patrice Evra yaliipa United ushindi wa 2-1 nyumbani wakati Van Persie pia alifunga tena dhidi ya Arsenal aliporejea Emirates baadaye msimu huo kusawazisha baada ya Theo Walcott kuanza kufunga na kufanya sare ya 1-1.
Ushindi wa mwisho wa Arsenal katika Ligi Kuu ya England dhidi ya United ulikuwa Mei mwaka 2011 wakati Aaron Ramsey alipofunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 nyumbani.
Kutoka kwenye kikosi cha Arsenal wakati huo, wachezaji watano bado wapo klabuni, akiwemo kipa Wojciech Szczesny, Laurent Koscielny, Walcott, Ramsey na Jack Wilshere.
Lakini ikiwa Wenger anatafuta ahueni anahitaji kutazama juu ya rekodi ya ugenini ya United, bado hawajashinda mechi yoyote ugenini msimu huu na hawajachukua pointi tatu katika mechi zao za ugenini tangu Aprili 5, mwaka huu walipoifunga Newcastle 4-0.
Misimu iliyopita, mechi kati ya Arsenal vs Manchester United ilikuwa ya kuamua bingwa, lakini mwaka huu inaonekana kama ni mechi ya kuwania nafasi ya nne na ya mwisho ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Lakini kikubwa zaidi, The Gunners wanatarajiwa kufuta uteja wao kwa United.

KIPA WA SIMBA SC APATA ULAJI OMAN, AWA BOSI WA KIPA WA YANGA SC.


Kipa wa zamani wa Simba SC, Spear Mbwembwe (kulia) akiwa na kipa wa zamani wa Yanga SC, Juma Mpongo mjini Muscat, Oman jana. Mbwembwe ametua jana kwa ajili ya kuwa kocha wa makipa wa klabu ya Seeb ya Ligi Kuu ya nchini humo. Mpongo amekuwa kipa wa timu hiyo tangu mwanzoni mwa msimu huu na sasa bosi wake atakuwa Mtanzania mwenzake.

MUONEKANO WA JEZI MPYA ZINAZOPIGIWA KURA


JEZI ZA NYUMBANI

N1
N1
B
B
C
C
D
D
(Imetolewa na Shirikisho la Soka Tanzania, TFF )