SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 31, 2015

YAYA TOURE AFIKIRIA KUIVUA 'KIMOJA' JEZI YA IVORY COAST

KIUNGO Yaya Toure amesema anafikiria kustaafu soka ya kimataifa baada ya kutimiza malengo yake. Toure aliiongoza nchi yake kama Nahodha kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika, hilo likiwa taji la kwanza kubwa baada ya zaidi ya miongo miwili na sasa anaweza kufuata nyayo za kaka yake,...

DI MARIA AONGOZA MAUZO YA JEZI ENGLAND

HIZI ni habari njema ambazo zinaweza kumfariji Angel di Maria. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Argentina amekuwa ana msimu mgumu Manchester United uwanjani, lakini kiwango chake hakijaathiri umaarufu wake nje ya Uwanja kutokana na jezi kuongoza kwa mauzo katika Ligi Kuu ya England. Kwa mujibu...