Jul 4, 2016

STAA MWINGINE TOTENHAM KUJIUNGA REAL MADRID

Na Haji balou
Klabu ya Real madrid  tayari Kutoa euro million 35 ili kumnasa kipa namba moja wa Totenham Na Timu ya taifa ya Ufaransa  Hugo Lloris.

Kama Hugo Lloris  atajiunga Na Real Madrid atakuwa mchezaji watatu kujiunga Na Real Madrid akitokea Totenham kwa kipindi cha hivi karibuni  wachezaji wengine ni Gareth Bale, Luka Modric Na Emmanuel aliye enda kwa mkopo.

0 maoni:

Post a Comment