
Bondia
Floyd Mayweather Jr akiwa kwenye mzani wakati wa kupima uzito ukumbi wa
MGM Grand usiku wa kuamkia leo kuelekea pambano lake na Manny Pacquiao
usiku wa kuamkia kesho kwenye ukumbi huo. Mayweather 'alibalanasi' uzito wa pambano (Paundi za 147 za Welter), tena akiwa amepungua Paundi moja.

Pacquiao naye amepungua Paundi mbili za uzito kamili wa Welter
0 maoni:
Post a Comment