
Kwa hii picha ya gari aliyopost Diamond kwenye instagram labda ndio anaendelea kutimiza ndoto zake? japokua hakuandika chochote baada ya kuiweka picha hii ya gari jipya lisilo na namba, baadhi ya mashabiki wameanza kumpongeza ila bado millardayo.com inaendelea kumtafuta ili tupate uhakika kama ndio mkoko wake mpy
0 maoni:
Post a Comment