Uongozi wa Simba umesema utaanza rasmi kujenga uwanja wao wa mazoezi mwezi ujao.
Rais wa Simba, Evans Aveva amesema watautumia uwanja wao wanaoumiliki kuanza kujenga uwanja wa mazoezi.
“Tutaanza
kujenga uwanja kwa ajili ya mazoezi kwa ajili ya kupunguza gharama, kwa
siku tunalazimika...