
KIUNGO Yaya Toure amesema anafikiria kustaafu soka ya kimataifa baada ya kutimiza malengo yake.
Toure
aliiongoza nchi yake kama Nahodha kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika,
hilo likiwa taji la kwanza kubwa baada ya zaidi ya miongo miwili na sasa
anaweza kufuata nyayo za kaka yake,...