
MSHAMBULIAJI
Robin van Persie usiku huu amefunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1
wa U21 ya Manchester United dhidi ya vijana wenzao wa Fulham Uwanja wa
Craven Cottage.
Van Persie
ambaye amekuwa nje ya Uwanja tangu Februari kutokana na majeruhi,
alifunga mabao hayo katika dakika za...