
Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAM
KOCHA
Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Mart Nooij ametangaza
kikosi cha wachezaji 23 watakaoondoka leo jioni kuelekea Addis Ababa
nchini Ethiopia kuweka kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya
Misri
Akizungumza
na Waandishi wa...