
KAZIMOTO AKIWA QATAR...
Kiungo Mwinyi Kazimoto amejiunga tena na Simba akitokea Al Markhiya ya Qatar.
Mwinyi amerejea Simba baada ya kujiunga na Al Markhiya akitokea Msimbazi.
Ameichezea timu hiyo ya daraja la pilim misimu miwili, lakini ikashindwa kupanda daraja.
AKISAINI...