SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 29, 2015

KAZIMOTO ALITAKAA KWENDA MISRI AKAAMUA KURUDI SIMBA

KAZIMOTO AKIWA QATAR... Kiungo Mwinyi Kazimoto amejiunga tena na Simba akitokea Al Markhiya ya Qatar. Mwinyi amerejea Simba baada ya kujiunga na Al Markhiya akitokea Msimbazi.  Ameichezea timu hiyo ya daraja la pilim misimu miwili, lakini ikashindwa kupanda daraja. AKISAINI...

Jul 25, 2015

SIKIA CANNAVARO ALIVYOWAAMBIA SIMBA KAMA WATAMSAJILI MICHAEL OLUNGA

OLUNGA (KULIA) AKISHANGILIA NA WENZAKE WA GOR MAHIA... Simba inapambana muda wote kuhakikisha inamsajili straika Michael Olunga wa Gor Mahia, lakini nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ni kama anataka kutibua dili hilo aliposema; “Huyo Olunga hana lolote, isipokuwa ana bahati tu.” Cannavaro...

Jul 16, 2015

KIBURI CHAMUONDOA VALDEZ MAN UNITED

Hatimaye kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amefumbua kile kilichokua kimejificha baada ya kushuhudia golikipa Victor Valdez akiachwa katika safari ya ‘Pre-season’ nchini Marekani. Akiongea kwa mara ya kwanza na vyombo vya habari katika ‘tour’ hiyo ya nchini Marekani, pamoja na mambo...

STEWART ASEMA MESSI,TCHETCHE, AME, WAWA WOTE ‘WAPO UNGA’

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM NYOTA wa Azam FC, Serge Wawa Pascal Kipre, Miachel Balou, Kipre Herman Tchetche wote raia wa Ivory Coast pamoja wazalendo Ramadhani Singano ‘Messi’ na Ame Ali ‘Zungu’ wote hawako fiti. Hayo yamesemwa na kocha Mkuu wa timu hiyo Muingereza, Stewart John Hall...

SIMBA WATUMIA MUDA WAO KUWALIWAZA WATOTO YATIMA WA LUSHOTO

Pamoja na maandalizi ya kambi mjini Lushoto, Simba wametumia muda wao mchache kutembelea kituo cha watoto yatima cha Irente. Wakiongozwa na Kocha Dylan Kerr, Simba na kikosi chao kizima walitua katika kituo hicho kilichopo Lushoto pia na kuzungumza na watoto hao ikiwa ni pamoja...

CHELSEA WALIVYOTUA NCHINI CANADA TAYARI KWA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA

CHELSEA WAMETUA JIJINI MONTREAL NCHINI CANADA KWA AJILI YA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA WA LIGI KUU ENGLAND. CHEKI WALIVYOWASILI. ...

SIRI YA DILUNGA KUSUSA YANGA SC HII HAPA…

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM KIUNGO Hassan Dilunga (pichani) amegoma kuhudhuria mazoezi Yanga SC, kwa sababu ameambiwa atatolewa kwa mkopo Stand United. Dilunga ameamua ‘kujifungia’ nyumbani kwao na kutokwenda mazoezini Yanga SC, huku uongozi wa klabu hiyo ukipanga kumchukulia hatua za kinidhamu. BIN ...

Jul 5, 2015

WAZAZI WA MESSI WASHAMBULIWA NA MASHABIKI WA CHILE

Wazazi wa Lionel Messi na ndugu zake wawili ilibidi waondolewe jukwaani na kupelekwa sehemu nyingine kwa ajili ya usalama wao kufuatia mashabiki wa Chile kuwashambulia wakati mchezo wa fainali ya Copa America unaendelea kati ya Argentina dhidi ya Chile jana usiku. Dakika chache kabla ya timu...

NASRI AWACHIMBA MKWARA MZITO ARSENAL….

Samir Nasri ametupilia mbali uvumi unaomhusisha na kumuomba Arsene Wenger kama kuna uwezekanao wa kurudi kukipiga tena Arsenal. Kwa mujibu taarifa zilizoenea siku ya Alhamisi wiki iliyopita, inasemekana Nasri kwa sasa hajatulia katika klabu yake ya Man City, hivyo kuomba kurudi tena katika klabu...

BEKI AZAM FC APIGA MKWARA MZITO

BEKI wa Azam FC, Serge Wawa Pascal (pichani kushoto) amesema kwamba msimu wa kwanza aliutumia kujifunza kuhusu Ligi Kuu na soka ya Tanzania kwa ujumla, lakini msimu ujao ataanza kazi rasmi.  “Nimekuja hapa Desemba, kipindi chote nilikuwa najifunza kuhusu soka ya Tanzania na ligi ya...

MKWASA: TIMU IMEBADILIKA, NIPENI MUDA NIWAPE RAHA ZAIDI

Na Baraka Kizuguto, KAMPALA KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema wachezaji wake wamejitahidi kucheza vizuri hadi kupata sare ya ugenini na Uganda leo. Stars imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja...