SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Oct 16, 2015

BRENDAN RODGERS APATA KAZI MPYA BAADA YA KUFUKUZWA LIVERPOOL

Ukishafanya kazi ya kuiongoza taasisi kubwa kama Liverpool mambo yako hayawezi kuwa mabaya hata kama umeachishwa kazi. Hivyo ndivyo imemtokea Brendan Rodgers ambae siku kadhaa zilizopita alifukuzwa kazi na club ya Liverpool na sasa hivi taarifa zimetoka kwamba ameshapata kazi mpya. Kazi ya ukocha...

SIMBA SC WAILAUMU TFF WAMEJAA NA UYANGA

Na Princess Asia, DAR ES SALAAM KLABU ya Simba SC imelalamika kwamba, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) haliwatendei haki kwa sababu uongozi wake umesheheni watu wa Yanga SC. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE leo kwamba, imefikia...

NIYONZIMA HATARINI KUIKOSA AZAM KESHO

Haruna Niyonzima akiwa na mkewe leo Kigali, Rwanda baada ya kufunga ndoa ya Kiserikali  Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM UWEZEKANO wa kiungo Haruna Hakizimana Niyonzima kuichezea klabu yake, Yanga SC Jumamosi Dar es Salaam dhidi ya Azam FC ni mdogo. Nahodha huyo wa Rwanda, amefunga ndoa na...

BOBAN ATAMBA SIMBA ITAFIA SOKOINE KESHO

Na Mwandishi Wetu, Mbeya Mbeya City inatarajiwa kuikaribisha Simba, kesho Jumamosi katika Ligi Kuu Bara lakini ujio wa kiungo Haruna Moshi ‘Boban’ umeongeza nguvu kwenye kikosi cha Mbeya City ambapo amesema anaamini timu yake itaibuka na ushindi. Akizungumza mara baada ya kumalizika...