SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 29, 2016

HUU NDIO MWONEKANO MPYA WA HASSAN ISIHAKA WA SIMBA

Picha ya nahodha wa zamani wa Simba, Hassan Isihaka akiwa amenyoa rasta zake imekuwa gumzo zaidi mitandaoni kuanzia jana. Picha hiyo kwa mara ya kwanza ilitundikwa na SALEHJEMBE, lakini ikasambaa kwenye mitandao mingi na kuwa gumzo. Isihaka alikuwa akipasha na kikosi cha Simba, awali alizoeleka kuonekana...

Mar 27, 2016

JOSE MOURINHO AMEYASEMA HAYA KUHUSU MESSI

Na Haji balou Kocha Jose Mourinho hivi karibuni amefanya mahojiano na kituo cha BT Sport na kutoa maoni yake juu ya tofauti ya kuwa na Lionel Messi katika kikosi na kucheza dhidi yake, hasa katika Champions League. “Messi ameshinda Champions League na makocha tofauti. Nadhani ni rahisi kushinda ukiwa...

Mar 17, 2016

MAAMUZI MENGINE YA SIMBA KUHUSU HASSAN ISIHAKA

Na Haji balou SIMBA SC imemfungia kwa mwezi mmoja pamoja na kumvua Unahodha, beki wake wa kati chipukizi, Hassan Isihaka baada ya kukutwa na hatia ya utovu wa nidhamu. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba, Hajji Manara amewaambia Waandisji wa Habari leo kwamba hatua hiyo imefikiwa...

SIMBA WAMETOA MAAMUZI YAO KUHUSU VIPORO VYA YANGA NA AZAM FC

Na Haji balou Klabu ya Simba imeweka msisitizo kwamba mechi ya Jumamosi dhidi ya Coastal Union ni ya mwisho kwao hawatacheza tena hadi Yanga na Azam FC wacheze mechi zao za viporo. Simba itakuwa Tanga Jumamosi kuivaa Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkwakwani. Mkuu...

Mar 15, 2016

HASSAN KESY MAMBO SAFI SIMBA SC

Uongozi wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam umesema umefika mbali katika suala lake na beki wake, Hassan Kessy na una imani kubwa ataendelea kubaki na kuitumikia klabu hiyo msimu ujao. Makamu Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ amesema wameanza mazungumzo na Kessy na yako katika hatua nzuri...

FA WAMEAMUA HIVI KUHUSU DIEGO COSTA

Licha ya Barry kusema kwamba Diego Costa hakumng’ata kwenye mechi ya weekend iliypita, FA imemkuta Costa na makosa na wamempa hadi Alhamisi akatoe maelezo. Diego Costa ameonekana aking’ata Barry kwenye mechi yao ambapo hadi alama za meno zilionekana kwenye picha video. FA imetoa statement kwamba,...

TFF YASOGEZA MBELE MECHI MBILI ZA YANGA NA AZAM FC

MECHI mbili za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara zinazozihusu timu za Azam na Yanga zilizopangwa kufanyika mapema wki ijayo, zimeahirishwa. Mechi hizo ni kati ya Mtibwa Sugar na Azam FC Jumanne ya Machi 22 Uwanja wa Manungu, Turiani, Morogoro na Yanga SC dhidi ya Mwadui FC Jumatano ya Machi 23,...

Mar 12, 2016

HIKI NDIO KIKOSI CHA AZAM FC KITAKACHO IVAA BIDVEST

NA Haji balou Kikosi cha timu ya Azam FC kitakachocheza dhidi ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Bidvest jijini Johannesburg leo kuanzia saa 1.00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. 28 Aishi Manula   4 Shomari...

Mar 10, 2016

SIMBA KURUDI KILELENI LEO

NA Haji balou SIMBA SC ina nafasi ya kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo iwapo itashinda dhidi ya Ndanda FC ya Mtwara. Simba wanaikaribisha Ndanda leo katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakihitaji ushindi ili kuongoza ligi. Na...

Mar 9, 2016

PLUIJM APR NI WAZURI LAKINI TUTAPAMBANA

Na Haji balou KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm amesema kwamba wanakwenda kwenye mchezo mgumu wa ugenini dhidi ya APR, lakini watapambana wasipoteze. Pluijm amesema kwamba mchezo huo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, utakuwa mgumu kwa sababu APR ni timu nzuri. “APR...

Mar 8, 2016

ULIMWENGU YUPO FITI KUCHEZEA TAIFA STARS DHIDI YA CHAD

NA Haji balou MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (pichani) yuko fiti kabisa sasa na atakuja nchini kuichezea nchi yake mechi mbili za Kundi G kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani. Na klabu yake, Tout Puissant Mazembe imemruhusu kuja Dar es Salaam kuugana...

MAHREZ ANAWEZA KUJIUNGA NA TIMU HII MSIMU UJAO

NA Haji balou Leicester City wanaweza kuwa wamebakiwa na mechi 9 tu za kumuona star wao Riyad Mahrez akifanya mazuri kwenye club hiyo. Ikifika muda wa usajili kutakua na vita kubwa kwa club mbalimbali kubwa kutaka kuchukua wachezaji kutoka Leicester City ambao wanakikosi kizuri kwa ushirikiano na hata...

Mar 7, 2016

AZAM KUIFUATA BIDVEST SAUZI

NA Haji balou Azam FC inatarajia kuondoka nchini Jumatano ya keshokutwa kuelekea Afrika Kusini ‘Sauz’ kupambana na Bidvest Wits lakini kocha wa timu hiyo, Muingereza, Stewart Hall ametamba kuwa anaondoka akiwa ameshanasa siri nyingi za kiufundi za wapinzani wake hao. Pamoja na hayo, Stewart amesema...

Mar 5, 2016

HIKI NDIO KIKOSI CHA AZAM KITAKACHOANZA MECHI YA LEO DHIDI YA YANGA

NA Haji balou Kikosi cha Azam FC kitakakabiliana na Yanga dakika chache zijazo ndani ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 28 Aishi Manula   4 Shomari Kapombe 17 Farid Mussa 15 Said Morad   5 Pascal Wawa 12 David Mwantika 16 Jean Mugiraneza 23 Himid Mao 14 Ramadhan Singano 18 John Bocco 10 Kipre...

VAN DER SAR AMEYASEMA HAYA KUHUSU VAN GAAL

NA Haji balou Mchezaji  wa zamani wa Manchester united Edwin van der sar amesema kuwa kocha Luis van gaal ni mmoja kati ya makocha bora ambao yeye amewahi kufanya nao kazi hivyo anawataka mashabiki wa United kumwamini mholanzi huyo. Van der sar alicheza chini ya Van gaal katika timu ya Ajax ya...

Mar 4, 2016

HIVI NDIO VIWANGO VIPYA VYA SOKA MWEZI MARCH

Na Haji balouList ya viwango vipya vya soka ulimwenguni imetangazwa March 3 2016, FIFA imetangaza viwango hivyo vya FIFA na nchi ya Ubelgiji ambayo anacheza soka la kulipwa mtanzania Mbwana Samatta ipo nafasi ya kwanza ikufuatiwa na Argentina. Tanzania ipo nafasi ya 125 ukilinganisha na miezi miwili...

MESSI APIGA TATU BARCA YAUWA 5-1 LA LIGA

NA Haji balou BARCELONA imezidi kukimbia kivuli chake katika Ligi Kuu ya Hispania, maarufu kama La Liga baada ya ushindi wa mabao 5-1 usiku huu dhidi ya wenyeji Rayo Vallecano Uwanja wa Rayo Vallecano mjini Madrid. Mwanasoka bora kabisa kuwahi kutokea duniani, Lionel Messi amefunga mabao matatu peke...

Mar 3, 2016

BAADA YA ISIHAKA KUFUNGIWA SIMBA HAYA NDIO ALIYOSEMA HAMISI KIIZA

Na Haji balou Mshambuliaji wa Simba, Hamisi Kiiza naye yuko katika wakati mgumu baada ya kuandika mambo mtandaoni akionyesha kuupinga uongozi wa Simnba kumsimamisha nahodha wake, Hassan Isihaka. Simba ilitangaza kumfungia Isihaka kwa muda usiojulikana kutokana na kitendo chake cha...

ALICHOSEMA MANEGER WA HASSAN KESSY KUHUSU MKATABA MPYA SIMBA

Na Haji balou Meneja wa Hassan Kessy amesema bado anahitaji mchezaji huyo aendelee kuitumikia Simba. Athuman Tippo amesema Kessy hadi sasa ni mchezaji wa Simba ingawa mkataba wake unaendea ukingoni. Lakini wanatoa nafasi kubwa kwa Simba kuingia naye tena mkataba kama wanamhitaji. “Ni suala la kukubaliana....

MATOKEO YA MECHI ZA JANA LIGI KUU ENGLAND

TIMU ya Liverpool imeichapa mabao 3-0 Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Anfiled. Ushindi huo ni sawa na kisasi cha kufungwa kwa penalti 3-1 katika fainali ya Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup Februari 28, Uwanja wa Wembley baada ya sare ya 1-1. Katika...