Na Haji balou
KIUNGO chipukizi wa Mbeya City FC,
Rafael Daudi Alpha amesema anashangaa hatajwi katikaorodha ya wafunga wa mabao mengi kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara wakati hadi sasa ana mabao sita.
Amesema anashangaa wakati wote
orodha ya wafungaji wa mabao mengi ...