
Na Haji balou
Leo mei 29 kulikuwa na mchezo wa robo fainali mchezo ulipigwa ktk uwanja wa Shule ya msingi muungano kati ya timu Likongowele fc vs Bodaboda fc.
Mpaka mchezo unamalizika
Likongowele fc o-2 Bodaboda Magoli yote ya Boda Boda fc yalifungwa na faraja katika dk 25 na dk...