Jul 7, 2016

VALDEZ ASAINI TIMU HII HAPA ENGLAND

Na Haji balou
Kipa wa zamani wa Fc barcelona Na Manchester united Victor Valdez amesaini mkataba wa miaka miwili Na klabu ya Middlesbrough ya nchini England.

Valdez mwenye umri wa miaka 34 amekuwa Na wakati mgumu tangu atue Manchester united akitokea  Barcelona baada ya kukosa nafasi ya kucheza katika klabu hiyo.

Kupitia account yake ya Twitter Valdez aliandika hivi  “Very Proud to be part of Middlesbrough.

“A new challenge for me from today!”.

0 maoni:

Post a Comment