SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Sep 1, 2016

KIUNGO MTANZANIA APATA TIMU AFRIKA KUSINI

Na Haji balou KIUNGO wa zamani wa Simba SC na Azam FC, Abdulhalim Humud ‘Gaucho’ amejiunga na klabu ya Real Kings FC ya Ligi Daraja la Kwanza Afrika Kusini. Humud ambaye msimu uliopita alichezea Coastal Union ya Tanga iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, amesaini mkataba wa mwaka...