
Samatta alikwenda kufanya majaribo CSK Moscow ya Urusi, lakini hakufanikiwa baada ya kupata majeruhi ya kifundo cha mguu
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,
Mshambulizi wa kimataifa wa
Tanzania, Mbwana Samatta ameweka wazi kuwa ataachana na mabingwa mara
nne wa kihistoria wa Afrika,...