
Na Haji balou
KIUNGO wa zamani wa
Simba SC na Azam FC,
Abdulhalim Humud ‘Gaucho’
amejiunga na klabu ya Real
Kings FC ya Ligi Daraja la
Kwanza Afrika Kusini.
Humud ambaye msimu
uliopita alichezea Coastal
Union ya Tanga iliyoshuka
daraja kutoka Ligi Kuu ya
Vodacom Tanzania Bara,
amesaini mkataba wa
mwaka...